Mark 14:17 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Ilipokuwa jioni, Yesu alifika pamoja na wanafunzi wake kumi na wawili.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Ilipofika jioni, Isa akaja pamoja na wale wanafunzi wake kumi na wawili.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Basi ilipokuwa jioni yuaja pamoja na wale Thenashara.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Wakati wa jioni Yesu alienda pamoja na wanafunzi wake kumi na mbili katika nyumba ile.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Ilipokuwa jioni, Yesu alifika pamoja na wanafunzi wake kumi na wawili.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Ilipokuwa jioni, Yesu alifika pamoja na wanafunzi wake kumi na wawili.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Ilipofika jioni, Yesu akaja pamoja na wale wanafunzi wake kumi na wawili.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Ilipofika jioni, Isa akaja pamoja na wale wanafunzi wake kumi na wawili.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Basi ilipokuwa jioni akaja pamoja na wale Kumi na Wawili.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Ilipokuwa jioni, Yesu alifika pamoja na wanafunzi wake kumi na wawili.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Ilipokuwa jioni, akaja pamoja na wale kumi na wawili.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Basi ilipokuwa jioni yuaja pamoja na wale Thenashara.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Ilipokuwa magaribi, Yesu akafika pamoja na wanafunzi wake kumi na wawili.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Ilipokuwa jioni yuaja pamoja na wathenashara.