Mark 14:19 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Hapo wanafunzi wake wakaanza kuhuzunika, wakamwuliza mmojammoja, “Je, ni mimi?”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Wakaanza kuhuzunika na kumuuliza mmoja baada ya mwingine, “Je, ni mimi, Bwana?”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Wakaanza kuhuzunika, wakamwambia mmoja mmoja, Je! Ni mimi?
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Wanafunzi walihuzunika sana kusikia jambo hili. Kila mmoja akamwambia Yesu, “Hakika siyo mimi?”
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Hapo wanafunzi wake wakaanza kuhuzunika, wakamwuliza mmojammoja, “Je, ni mimi?”
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Hapo wanafunzi wake wakaanza kuhuzunika, wakamwuliza mmojammoja, “Je, ni mimi?”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Wakaanza kuhuzunika na kumwambia mmoja baada ya mwingine, “Je, ni mimi Bwana?”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Wakaanza kuhuzunika na kumuuliza mmoja baada ya mwingine, “Je, ni mimi Bwana?”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Wakaanza kuhuzunika, wakamwambia mmoja mmoja, Je! Ni mimi?
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Hapo wanafunzi wake wakaanza kuhuzunika, wakamwuliza mmojammoja, “Je, ni mimi?”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Wakaanza kusikitika na kumwuliza mmoja mmoja: Ni mimi?
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Wakaanza kuhuzunika, wakamwambia mmoja mmoja, Je! Ni mimi?
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Wanafunzi wakaanza kuhuzunika na kumwuliza mumoja kwa mumoja: “Ni mimi?”
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Wakaanza kuhuzunika, wakamwambia, mmoja mmoja, Ni mimi? na mwingine, Ni mimi?