Mark 14:28 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Lakini nikisha fufuka, nitawatangulieni kule Galilaya.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Lakini baada ya kufufuka kwangu, nitawatangulia kwenda Galilaya.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Lakini baada ya kufufuka kwangu, nitawatangulia kwenda Galilaya.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Lakini baada ya kuuawa, nitafufuka kutoka kwa wafu. Kisha nitaenda Galilaya. Nitakuwa pale kabla ninyi hamjafika.”
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Lakini nikisha fufuka, nitawatangulieni kule Galilaya.”
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Lakini nikisha fufuka, nitawatangulieni kule Galilaya.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Lakini baada ya kufufuka, nitawatangulia kwenda Galilaya.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Lakini baada ya kufufuka kwangu, nitawatangulia kwenda Galilaya.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Lakini baada ya kufufuka kwangu, nitawatangulia kwenda Galilaya.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Lakini nikisha fufuka, nitawatangulieni kule Galilaya.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
lakini nitakapokwisha kufufuliwa nitawatangulia kwenda Galilea.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Lakini baada ya kufufuka kwangu, nitawatangulia kwenda Galilaya.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Lakini nitakapokwisha kufufuka, nitawatangulia Galilaya.”
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Lakini baada ya kufufuka kwangu, nitawatangulia kwenda Galilaya.