Mark 14:39 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Akaenda kusali tena akirudia maneno yaleyale.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Akaenda tena kuomba, akisema maneno yale yale.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Akaenda zake tena, akaomba, akisema neno lilo hilo.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Yesu akaondoka kwenda kuomba tena, akilisema jambo lile lile.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Akaenda kusali tena akirudia maneno yaleyale.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Akaenda kusali tena akirudia maneno yaleyale.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Akaenda tena kuomba akisema maneno yale yale.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Akaenda tena kuomba, akisema maneno yale yale.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Akaenda zake tena, akaomba, akisema neno lilo hilo.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Akaenda kusali tena akirudia maneno yaleyale.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Akaenda tena, akaomba na kusema maneno yaleyale.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Akaenda zake tena, akaomba, akisema neno lilo hilo.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mara tena akawaacha, akaomba akirudilia maneno yale yale.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Akaenda zake fena, akaomha, akasema neno lili hili.