Mark 14:6 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Lakini Yesu akawaambia, “Mwacheni; kwa nini mnamsumbua? Amenitendea jambo jema.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Lakini Isa akawaambia, “Mbona mnamsumbua huyu mwanamke? Mwacheni! Yeye amenitendea jambo zuri sana.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Yesu akasema, Mwacheni; mbona mnamtaabisha? Amenitendea kazi njema;
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
“Lakini Yesu alisema mwacheni peke yake. Kwa nini mnamsumbua? Yeye amenifanyia kitendo chema.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Lakini Yesu akawaambia, “Mwacheni; kwa nini mnamsumbua? Amenitendea jambo jema.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Lakini Yesu akawaambia, “Mwacheni; kwa nini mnamsumbua? Amenitendea jambo jema.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Lakini Yesu akawaambia, “Kwa nini mnamsumbua? Mwacheni! Amenitendea jambo la kupendeza.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Lakini Isa akawaambia, “Mbona mnamsumbua huyu mwanamke? Mwacheni! Yeye amenitendea jambo zuri sana.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Yesu akasema, Mwacheni; mbona mnamsumbua? Amenitendea kazi njema;
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Lakini Yesu akawaambia, “Mwacheni; kwa nini mnamsumbua? Amenitendea jambo jema.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Lakini Yesu akasema: Mwacheni! Mbona mnamsikitisha? Amenitendea tendo zuri.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Yesu akasema, Mwacheni; mbona mnamtaabisha? Amenitendea kazi njema;
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Lakini Yesu akasema: “Mumwache kimya! Sababu gani munamusumbua? Yeye amenitendea jambo zuri.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Yesu akasema, Mwacheni; mbona mnamwudhi? amenitendea kazi njema: