Mark 14:71 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Lakini Petro akaanza kulaani na kuapa akisema, “Mimi simjui mtu huyu mnayesema habari zake.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Petro akaanza kujilaani na kuwaapia, “Mimi simjui huyu mtu mnayesema habari zake!”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Akaanza kulaani na kuapiza, Simjui mtu huyu mnayemnena.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Petro akaanza kutoa maneno makali na kusema, “Naapa kwa Mungu, simjui mtu huyu mnayemzungumzia!”
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Lakini Petro akaanza kulaani na kuapa akisema, “Mimi simjui mtu huyu mnayesema habari zake.”
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Lakini Petro akaanza kulaani na kuapa akisema, “Mimi simjui mtu huyu mnayesema habari zake.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Petro akaanza kulaani na kuapa, akawaambia, “Simjui huyu mtu mnayesema habari zake.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Petro akaanza kujilaani na kuwaapia, “Mimi simjui huyu mtu mnayesema habari zake!”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Akaanza kulaani na kuapiza, Simjui mtu huyu mnayemnena.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Lakini Petro akaanza kulaani na kuapa akisema, “Mimi simjui mtu huyu mnayesema habari zake.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Ndipo, alipoanza kujiapiza na kuapa akisema: Simjui mtu huyo, mnayemsema.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Akaanza kulaani na kuapiza, Simjui mtu huyu mnayemnena.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Basi Petro akaanza kusema: “Nilaaniwe ikiwa ninasema uongo! Ninaapa kwamba simujui mutu huyu munayemutaja.”
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Akaanza kulaani na kuapiza, Simjui mtu huyu mnenae.