Mark 15:33 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Tangu saa sita mchana mpaka saa tisa giza likaikumba nchi yote.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Ilipofika saa sita, giza liliifunika nchi yote hadi saa tisa.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Na ilipokuwa saa sita, palikuwa na giza juu ya nchi yote, hata saa tisa.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Ilipofika saa sita mchana giza ilifunika nchi yote. Giza liliendelea hadi saa tisa.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Tangu saa sita mchana mpaka saa tisa kulikuwa giza nchini kote.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Tangu saa sita mchana mpaka saa tisa giza likaikumba nchi yote.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Ilipofika saa sita, giza lilifunika nchi yote mpaka saa tisa.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Ilipofika saa sita, giza liliifunika nchi yote hadi saa tisa.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Na ilipokuwa saa sita, palikuwa na giza juu ya nchi yote, hadi saa tisa.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Tangu saa sita mchana mpaka saa tisa giza likaikumba nchi yote.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Ilipokuwa saa sita, pakawa na giza katika nchi yote nzima mpaka saa tisa. Ilipokuwa saa tisa, Yesu akapaza sauti sana:
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Na ilipokuwa saa sita, palikuwa na giza juu ya nchi yote, hata saa tisa.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Ilipokuwa saa sita ya muchana, giza likakuwa katika inchi yote mpaka saa tisa.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Ilipokuwa saa sita, pakawa na giza juu ya inchi yote, hatta saa tissa.