Mark 15:6 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Kila wakati wa sikukuu ya Pasaka, Pilato alikuwa na desturi ya kuwafungulia mfungwa mmoja waliyemtaka.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Ilikuwa desturi wakati wa Sikukuu ya Pasaka kumfungulia mfungwa yeyote ambaye watu wangemtaka.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Basi wakati wa sikukuu huwafungulia mfungwa mmoja, wamwombaye.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Kila mwaka wakati wa Sherehe ya Pasaka Pilato atamweka huru mfungwa mmoja atakayechaguliwa na watu.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Kila wakati wa sikukuu ya Pasaka, Pilato alikuwa na desturi ya kuwafungulia mfungwa mmoja waliyemtaka.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Kila wakati wa sikukuu ya Pasaka, Pilato alikuwa na desturi ya kuwafungulia mfungwa mmoja waliyemtaka.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Ilikuwa desturi wakati wa Sikukuu ya Pasaka kumfungulia mfungwa ye yote ambaye watu wangemtaka.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Ilikuwa desturi wakati wa Sikukuu ya Pasaka kumfungulia mfungwa yeyote ambaye watu wangemtaka.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Basi wakati wa sikukuu huwafungulia mfungwa mmoja, wamwombaye.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Kila wakati wa sikukuu ya Pasaka, Pilato alikuwa na desturi ya kuwafungulia mfungwa mmoja waliyemtaka.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kwa desturi ya sikukuu huwafungulia mfungwa mmoja, waliyemtaka.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Basi wakati wa sikukuu huwafungulia mfungwa mmoja, wamwombaye.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kila sikukuu ya Pasaka, Pilato alizoea kuwafungulia watu mufungwa mumoja, yule waliyemutaka.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Bassi katika siku kuu huwafungulia mfungwa mmoja, wamtakae.