Mark 16:13 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Nao pia wakaenda, wakawaambia wenzao. Hata hivyo hawakuamini.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Nao wakarudi na kuwaambia wenzao. Lakini hawakuwasadiki wao pia.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Na hao wakaenda zao wakawapa habari wale wengine; wala hao hawakuwasadiki.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Hawa kisha walirudi na wakawasimulia wengine wote, lakini nao hawakuwaamini.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Nao pia wakaenda wakawaambia wenzao. Hata hivyo hawakuamini.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Nao pia wakaenda, wakawaambia wenzao. Hata hivyo hawakuamini.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Nao wakarudi na kuwaambia wenzao. Lakini hawakuwasadiki wao pia.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Nao wakarudi na kuwaambia wenzao. Lakini hawakuwasadiki wao pia.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Na hao wakaenda zao wakawapa habari wale wengine; wala hao hawakuwaamini.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Nao pia wakaenda, wakawaambia wenzao. Hata hivyo hawakuamini.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Nao wakaenda, wakavisimulia wenzi wao wengine, lakini nao hawakuwaitikia.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Na hao wakaenda zao wakawapa habari wale wengine; wala hao hawakuwasadiki.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Nao wakarudi na kuwapasha wanafunzi wengine habari ile, lakini wao vilevile hawakusadikia.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Na hawa wakaenda zao wakawapa khabari wale wengine: wala hawakuwasadiki hawa.