Mark 2:28 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Kwa hiyo, Mwana wa Mtu ana uwezo hata juu ya Sabato.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Hivyo, Mwana wa Adamu ndiye Bwana wa Sabato.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Basi Mwana wa Adamu ndiye Bwana wa sabato pia.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Kwa hiyo Mwana wa Adamu ambaye ni Bwana juu ya kila kitu, pia ni Bwana juu ya siku ya Sabato.”
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Kwa hiyo, Mwana wa Mtu ni Bwana hata wa Sabato.”
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Kwa hiyo, Mwana wa Mtu ana uwezo hata juu ya Sabato.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Hivyo, Mwana wa Adamu ndiye Bwana wa Sabato.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Hivyo, Mwana wa Adamu ndiye Bwana wa Sabato.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Basi Mwana wa Adamu ndiye Bwana wa sabato pia.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Kwa hiyo, Mwana wa Mtu ana uwezo hata juu ya Sabato.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kwa hiyo Mwana wa mtu ni bwana hata wa siku ya mapumziko.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Basi Mwana wa Adamu ndiye Bwana wa sabato pia.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Ni kwa sababu hii, Mwana wa Mutu ndiye Bwana hata wa siku ya Sabato.”
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Bassi yeye aliye Mwana wa Adamu ndiye Bwana wa Sabato.