Mark 2:3 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
wakati mtu mmoja aliyepooza alipoletwa kwake akiwa amechukuliwa na watu wanne.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Ndipo baadhi ya watu wakaja wakamletea Isa mtu aliyepooza, akiwa amebebwa na watu wanne.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Wakaja watu wakimletea mtu mwenye kupooza, anachukuliwa na watu wanne.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
baadhi ya watu walimleta kwake mtu aliyepooza amwone. Mtu huyo alikuwa amebebwa na rafiki wanne.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
wakati mtu mmoja aliyepooza alipoletwa kwake akiwa amechukuliwa na watu wanne.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
wakati mtu mmoja aliyepooza alipoletwa kwake akiwa amechukuliwa na watu wanne.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Ndipo baadhi ya watu wakaja wakamletea Yesu mtu aliyepooza, akiwa amebebwa na watu wanne.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Ndipo baadhi ya watu wakaja wakamletea Isa mtu aliyepooza, akiwa amebebwa na watu wanne.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Wakaja watu wakimletea mtu mwenye kupooza, anachukuliwa na watu wanne.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
wakati mtu mmoja aliyepooza alipoletwa kwake akiwa amechukuliwa na watu wanne.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kukaja watu waliomletea mgonjwa wa kupooza, akichukuliwa na watu wanne;
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Wakaja watu wakimletea mtu mwenye kupooza, anachukuliwa na watu wanne.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
wakamuletea mugonjwa mwenye kupooza, akibebwa na watu wane.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Wakaja watu wakimletea mtu mwenye kupooza, anachukuliwa na watu wane.