Mark 3:1 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Yesu aliingia tena katika sunagogi na mle ndani mlikuwa na mtu aliyekuwa na mkono uliopooza.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Isa akaingia tena ndani ya sinagogi, na kulikuwa na mtu aliyepooza mkono.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Akaingia tena katika sinagogi; na palikuwako huko mtu mwenye mkono uliopooza;
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Kwa mara nyingine tena Yesu alikwenda kwenye sinagogi. Huko alikuwepo mtu aliyekuwa na mkono uliolemaa.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Yesu aliingia tena katika sunagogi na mle ndani mlikuwa na mtu aliyekuwa na mkono uliopooza.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Yesu aliingia tena katika sunagogi na mle ndani mlikuwa na mtu aliyekuwa na mkono uliopooza.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Yesu akaingia tena ndani ya sinagogi na huko palikuwa na mtu mwenye mkono uliopooza.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Isa akaingia tena ndani ya sinagogi, na huko palikuwa na mtu aliyepooza mkono.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Akaingia tena katika sinagogi; na palikuwako huko mtu mwenye mkono uliopooza;
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Yesu aliingia tena katika sunagogi na mle ndani mlikuwa na mtu aliyekuwa na mkono uliopooza.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Alipoingia tena katika nyumba ya kuombea, mle mlikuwa na mtu mwenye mkono uliokuwa umekaukiana.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Akaingia tena katika sinagogi; na palikuwako huko mtu mwenye mkono uliopooza;
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Yesu aliingia tena katika nyumba ya kuabudia. Na mule ndani mulikuwa mutu mumoja mwenye mukono unaokauka.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
AKAINGIA tena katika sunagogi: na palikuwako huko mtu mwenye mkono umepooza: