Mark 3:10 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Alikuwa amewaponya watu wengi, na wagonjwa wote wakawa wanamsonga ili wapate kumgusa.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kwa kuwa alikuwa amewaponya wagonjwa wengi, wale wenye magonjwa walikuwa wanasukumana ili wapate kumgusa.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Maana aliponya wengi, hata wote waliokuwa na misiba wakamrukia wapate kumgusa.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Yesu alikuwa ameponya watu wengi. Hivyo wote wale waliokuwa na magonjwa waliendelea kujisogeza mbele kumwelekea ili wamguse.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Alikuwa amewaponya watu wengi, na wagonjwa wote wakawa wanamsonga ili wapate kumgusa.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Alikuwa amewaponya watu wengi, na wagonjwa wote wakawa wanamsonga ili wapate kumgusa.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kwa kuwa alikuwa amewaponya wagonjwa wengi, wale wenye magonjwa walikuwa wanasukumana ili wapate kumgusa.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kwa kuwa alikuwa amewaponya wagonjwa wengi, wale wenye magonjwa walikuwa wanasukumana ili wapate kumgusa.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Maana aliponya wengi, hata wote waliokuwa na misiba wakamrukia wapate kumgusa.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Alikuwa amewaponya watu wengi, na wagonjwa wote wakawa wanamsonga ili wapate kumgusa.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kwa kuwa aliponya wengi, wote walioteseka wakamwangukiaangukia, wapate kumgusa tu.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Maana aliponya wengi, hata wote waliokuwa na misiba wakamrukia wapate kumgusa.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Watu waliokuwa na magonjwa walikuwa wakisukumana kusudi wamufikie na kumugusa kwa maana aliwaponyesha watu wengi.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Maana aliponya wengi, hatta wote waliokuwa na misiba wakamrukia wapate kumgusa.