Mark 3:23 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Hapo Yesu akawaita, akawaambia kwa mifano, “Shetani anawezaje kumfukuza Shetani?
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Basi Isa akawaita na kuzungumza nao kwa mifano akasema: “Shetani awezaje kumtoa Shetani?
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Akawaita, akawaambia kwa mifano, Awezaje Shetani kumtoa Shetani?
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Yesu akawaita na kuanza kuzungumza nao kwa kulinganisha: “Inawezekanaje Shetani ambaye ni roho mchafu kufukuza mashetani?
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Hapo Yesu akawaita, akawaambia kwa mifano, “Shetani anawezaje kumfukuza Shetani?
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Hapo Yesu akawaita, akawaambia kwa mifano, “Shetani anawezaje kumfukuza Shetani?
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Basi Yesu akawaita na kuzungumza nao kwa mifano akasema: “Shetani awezaje kumtoa Shetani?
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Basi Isa akawaita na kuzungumza nao kwa mifano akasema: “Shetani awezaje kumtoa Shetani?
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Akawaita, akawaambia kwa mifano, Awezaje Shetani kumtoa Shetani?
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Hapo Yesu akawaita, akawaambia kwa mifano, “Shetani anawezaje kumfukuza Shetani?
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Akawaita, akawaambia kwa mifano: Satani awezaje kumfukuza Satani mwenziwe?
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Akawaita, akawaambia kwa mifano, Awezaje Shetani kumtoa Shetani?
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Basi Yesu akawaita, akawaambia kwa mifano akisema: “Namna gani Shetani anaweza kujifukuza mwenyewe?
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Akawaita, akawaambia kwa mifano, Awezaje Shetani kumfukuza Shetani?