Mark 3:30 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Yesu alisema hivyo kwa sababu walikuwa wanasema, “Ana pepo mchafu.”)
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Isa alisema hivi kwa sababu walikuwa wanasema, “Ana pepo mchafu.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
kwa vile walivyosema, Ana pepo mchafu.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Yesu alisema haya kwa sababu walimu wa sheria walikuwa wanasema, “Yeye ana pepo mchafu ndani yake.”
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
(Yesu alisema hivyo kwa sababu walikuwa wanasema, “Ana pepo mchafu.”)
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Yesu alisema hivyo kwa sababu walikuwa wanasema, “Ana pepo mchafu.”)
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Yesu alisema hivi kwa sababu walikuwa wanasema, “Ana pepo mchafu.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Isa alisema hivi kwa sababu walikuwa wanasema, “Ana pepo mchafu.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
kwa vile walivyosema, Ana pepo mchafu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Yesu alisema hivyo kwa sababu walikuwa wanasema, “Ana pepo mchafu.”)
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Aliwaambia hivyo kwa vile walivyosema: Ana pepo mchafu.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
kwa vile walivyosema, Ana pepo mchafu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Yesu aliwaambia vile kwa sababu walisema kwamba yuko na pepo.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
kwa vile walivyonena, Ana pepo mchafu.