Mark 3:33 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Yesu akawaambia, “Mama yangu na ndugu zangu ni kina nani?”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Akawauliza, “Mama yangu na ndugu zangu ni nani?”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Akawajibu, akisema, Mama yangu na ndugu zangu ni akina nani?
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Yesu akauliza, “Mama yangu ni nani na kaka zangu ni akina nani?”
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Yesu akawaambia, “Mama yangu na ndugu zangu ni kina nani?”
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Yesu akawaambia, “Mama yangu na ndugu zangu ni kina nani?”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Akawauliza, “Mama yangu na ndugu zangu ni nani?”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Akawauliza, “Mama yangu na ndugu zangu ni nani?”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Akawajibu, akisema, Mama yangu na ndugu zangu ni akina nani?
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Yesu akawaambia, “Mama yangu na ndugu zangu ni kina nani?”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Akajibu akiwaambia: Aliye mama yangu ni nani? Ndugu zangu ni akina nani?
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Akawajibu, akisema, Mama yangu na ndugu zangu ni akina nani?
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Yesu akawajibu: “Nani ndiye mama yangu, na nani ndio wandugu zangu?”
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Akawajibu, akinena, Mama yangu na ndugu zangu ni nani?