Mark 4:12 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
ili, ‘Watazame kweli, lakini wasione. Wasikie kweli, lakini wasielewe. La sivyo, wangemgeukia Mungu, naye angewasamehe.’”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
ili, “ ‘kuona waone lakini wasitambue, na kusikia wasikie lakini wasielewe; wasije wakageuka na kusamehewa!’ ”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
ili wakitazama watazame, wasione; Na wakisikia wasikie, wasielewe; Wasije wakaongoka, na kusamehewa.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Ili kwamba, ‘japo watatazama sana hawataona, na kwamba japo watasikia sana hawataelewa; vinginevyo, wangegeuka na kusamehewa!’”
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
ili, Watazame kweli, lakini wasione. Wasikie kweli, lakini wasielewe. La sivyo, wangemgeukia Mungu, naye angewasamehe.”
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
ili, ‘Watazame kweli, lakini wasione. Wasikie kweli, lakini wasielewe. La sivyo, wangemgeukia Mungu, naye angewasamehe.’”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
ili, “ ‘daima waone lakini wasitambue, daima wasikie lakini wasielewe; wasije wakageuka, wakatubu na kusamehewa!’ ”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
ili, “ ‘daima waone lakini wasitambue, daima wasikie lakini wasielewe; wasije wakageuka, wakatubu na kusamehewa!’ ”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
ili wakitazama watazame, wasione; Na wakisikia wasikie, wasielewe; Wasije wakaongoka, na kusamehewa.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
ili, ‘Watazame kweli, lakini wasione. Wasikie kweli, lakini wasielewe. La sivyo, wangemgeukia Mungu, naye angewasamehe.’”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
kusudi watazame, lakini wasione, wasikilize, lakini wasijue maana, wasije wakanigeukia, wakaondolewa makosa.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
ili wakitazama watazame, wasione; Na wakisikia wasikie, wasielewe; Wasije wakaongoka, na kusamehewa.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
kusudi ‘Wapate kuangalia, lakini wasione; nao wapate kusikia, lakini wasikuwe na ufahamu, kusudi wasipate kumugeukia Mungu na kusamehewa.’ ”
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
illi wakitazama watazame, wasione; na wakisikia wasikie, wasifahamu; wasije wakageuka, wakasamehewa dbambi zao.