Mark 4:14 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mpanzi hupanda neno la Mungu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Yule mpanzi hupanda neno.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Mpanzi huyo hulipanda neno.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Mkulima ni badala ya yule anayepanda lile neno la Mungu.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Mpanzi hupanda neno la Mungu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mpanzi hupanda neno la Mungu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Yule mpanzi hupanda neno.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Yule mpanzi hupanda neno.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Mpanzi huyo hulipanda neno.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mpanzi hupanda neno la Mungu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Mwenye kumiaga analimiaga Neno.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Mpanzi huyo hulipanda neno.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mupandaji anapanda Neno la Mungu.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Mpanzi yule hulipanda neno.