Mark 4:2 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Aliwafundisha mambo mengi kwa mifano, na katika mafundisho yake aliwaambia,
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Akawafundisha mambo mengi kwa mifano, naye katika mafundisho yake akasema:
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Akawafundisha mambo mengi kwa mifano, akawaambia katika mafundisho yake,
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Yesu akawafundisha mambo mengi kwa simulizi zenye mafumbo. Katika mafundisho yake alisema:
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Aliwafundisha mambo mengi kwa mifano, na katika mafundisho yake aliwaambia,
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Aliwafundisha mambo mengi kwa mifano, na katika mafundisho yake aliwaambia,
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Akawafundisha mambo mengi kwa mifano, naye katika mafundisho yake akasema:
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Akawafundisha mambo mengi kwa mifano, naye katika mafundisho yake akasema:
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Akawafundisha mambo mengi kwa mifano, akawaambia katika mafundisho yake,
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Aliwafundisha mambo mengi kwa mifano, na katika mafundisho yake aliwaambia,
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Akawafundisha maneno mengi kwa mifano, akawaambia katika mafunzo yake:
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Akawafundisha mambo mengi kwa mifano, akawaambia katika mafundisho yake,
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Yesu akawafundisha mambo mengi akitumia mifano. Yeye akawaambia hivi katika mafundisho yake:
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Akawafundisha mengi kwa mifano, akawaambia katika mafundisho yake,