Mark 4:27 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Usiku hulala, mchana yu macho na wakati huo mbegu zinaota na kukua; yeye hajui inavyofanyika.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Baada yake kuzipanda, usiku na mchana, akiwa amelala au ameamka, mbegu huota na kukua pasipo yeye kujua ikuavyo.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
akawa akilala na kuondoka, usiku na mchana, nayo mbegu ikamea na kukua, asivyojua yeye.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Usiku alienda kulala na asubuhi aliamka na zile mbegu zikiota na kukua; na hakujua jinsi gani hiyo ilifanyika.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Usiku hulala, mchana yu macho na wakati huo mbegu zinaota na kukua; yeye hajui inavyofanyika.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Usiku hulala, mchana yu macho na wakati huo mbegu zinaota na kukua; yeye hajui inavyofanyika.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Akiisha kuzipanda, usiku na mchana, akiwa amelala au ameamka, mbegu huota na kukua pasipo yeye kujua ikuavyo.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Akiisha kuzipanda, usiku na mchana, akiwa amelala au ameamka, mbegu huota na kukua pasipo yeye kujua ikuavyo.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
akawa akilala na kuondoka, usiku na mchana, nayo mbegu ikamea na kukua, asivyojua yeye.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Usiku hulala, mchana yu macho na wakati huo mbegu zinaota na kukua; yeye hajui inavyofanyika.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kisha hulala na kuamka usiku na mchana, nazo mbegu humea na kukua, yeye asivijue, vilivyo.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
akawa akilala na kuondoka, usiku na mchana, nayo mbegu ikamea na kukua, asivyojua yeye.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kila siku alilala na kuamuka na mbegu ziliota na kukomaa. Lakini hakujua namna gani mbegu zilivyoota.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
akawa akilala na kuondoka, usiku na mchana, nayo mbegu ikimea na kukua, asivyojua yeye.