Mark 4:30 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Tena, Yesu akasema, “Tuufananishe Ufalme wa Mungu na nini? Tuueleze kwa mifano gani?
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Akawaambia tena, “Tuufananishe ufalme wa Mungu na nini? Au tutumie mfano gani ili kuueleza?
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Akasema, Tuulinganishe na nini ufalme wa Mungu? Au tuutie katika mfano gani?
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Yesu akasema, “Niufanananishe na kitu gani ufalme wa mbinguni? Au tutumie mfano gani kuuelezea?
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Tena, Yesu akasema, “Tuufananishe Utawala wa Mungu na nini? Tuueleze kwa mifano gani?
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Tena, Yesu akasema, “Tuufananishe Ufalme wa Mungu na nini? Tuueleze kwa mifano gani?
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Akawaambia tena, “Tuufananishe Ufalme wa Mungu na nini? Au tutumie mfano gani ili kuueleza?
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Akawaambia tena, “Tuufananishe Ufalme wa Mwenyezi Mungu na nini? Au tutumie mfano gani ili kuueleza?
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Akasema, Tuulinganishe na nini ufalme wa Mungu? Au tuutie katika mfano gani?
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Tena, Yesu akasema, “Tuufananishe Ufalme wa Mungu na nini? Tuueleze kwa mifano gani?
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Akasema: Ufalme wa Mungu tuufananishe na nini? Au tuueleze kwa mfano gani?
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Akasema, Tuulinganishe na nini ufalme wa Mungu? Au tuutie katika mfano gani?
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Yesu akasema tena: “Tufananishe Ufalme wa Mungu na nini? Au tuulinganishe na mufano gani?
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Akanena, Tuulinganishe na nini ufalme wa Mungu? au tuutie katika mfano gani?