Mark 4:34 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Hakuongea nao chochote bila kutumia mifano; lakini alipokuwa pamoja na wanafunzi wake peke yao alikuwa akiwafafanulia kila kitu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Hakusema nao neno lolote pasipo mfano. Lakini alipokuwa na wanafunzi wake, aliwafafanulia kila kitu.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
wala pasipo mfano hakusema nao; lakini akawaeleza wanafunzi wake mwenyewe mambo yote kwa faragha.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Yesu hakusema kitu kwao bila kutumia mfano. Lakini alipokuwa peke yake pamoja na wanafunzi wake, alifafanua kila kitu kwao.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Hakuongea nao chochote bila kutumia mifano; lakini alipokuwa pamoja na wanafunzi wake peke yao alikuwa akiwafafanulia kila kitu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Hakuongea nao chochote bila kutumia mifano; lakini alipokuwa pamoja na wanafunzi wake peke yao alikuwa akiwafafanulia kila kitu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Hakusema nao neno lo lote pasipo mifano. Lakini alipokuwa na wanafunzi wake, aliwafafanulia kila kitu.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Hakusema nao neno lolote pasipo mfano. Lakini alipokuwa na wanafunzi wake, aliwafafanulia kila kitu.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
wala pasipo mfano hakusema nao; lakini akawaeleza wanafunzi wake mwenyewe mambo yote kwa faragha.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Hakuongea nao chochote bila kutumia mifano; lakini alipokuwa pamoja na wanafunzi wake peke yao alikuwa akiwafafanulia kila kitu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Lakini wanafunzi wake akawafungulia yote, walipokuwa peke yao.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
wala pasipo mfano hakusema nao; lakini akawaeleza wanafunzi wake mwenyewe mambo yote kwa faragha.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Hakusema nao pasipo kutumia mifano lakini alipokuwa pamoja na wanafunzi wake peke yao, aliwafasiria mambo yote.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
wala pasipo mfano hakusema nao: akawaeleza wanafunzi wake mambo yote kwa faragha.