Mark 4:40 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Kisha Yesu akawaambia wanafunzi wake, “Mbona mnaogopa? Je, bado hamna imani?”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Isa akawaambia wanafunzi wake, “Kwa nini mnaogopa hivyo? Je, bado hamna imani?”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Akawaambia, Mbona mmekuwa waoga? Hamna imani bado?
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Kisha akawaambia, “Kwa nini mnaogopa? Je! Bado hamna imani yoyote?”
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Kisha Yesu akawaambia wanafunzi wake, “Mbona mnaogopa? Je, bado hamna imani?”
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Kisha Yesu akawaambia wanafunzi wake, “Mbona mnaogopa? Je, bado hamna imani?”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Yesu akawaambia wanafunzi wake, “Kwa nini mnaogopa hivyo? Je, bado hamna imani?”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Isa akawaambia wanafunzi wake, “Kwa nini mnaogopa hivyo? Je, bado hamna imani?”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Akawaambia, Mbona mmekuwa waoga? Hamna imani bado?
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Kisha Yesu akawaambia wanafunzi wake, “Mbona mnaogopa? Je, bado hamna imani?”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kisha akawaambia: Mbona mnaogopa hivyo? Mbona hamnitegemei?
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Akawaambia, Mbona mmekuwa waoga? Hamna imani bado?
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kisha Yesu akawaambia wanafunzi: “Sababu gani munaogopa? Mpaka sasa hamujakuwa na imani?”
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Akawaambia, Mbona mu waoga? Hamna imani bado?