Mark 5:29 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mara chemchemi ya damu yake ikakauka, akajisikia mwilini mwake kwamba ameponywa ugonjwa wake.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Mara kutoka damu kwake kukakoma, naye akajisikia mwilini mwake amepona kabisa.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Mara chemchemi ya damu yake ikakauka, naye akafahamu mwilini mwake kwamba amepona msiba ule.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Mara moja chanzo cha kutoka kwake damu kikakauka, na akajisikia mwilini mwake kwamba amepona matatizo yake.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Mara chemchemi ya damu yake ikakauka, akajisikia mwilini mwake kwamba ameponywa ugonjwa wake.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mara chemchemi ya damu yake ikakauka, akajisikia mwilini mwake kwamba ameponywa ugonjwa wake.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Mara kutoka damu kwake kukakoma, naye akajisikia mwilini mwake amepona kabisa.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Mara kutoka damu kwake kukakoma, naye akajisikia mwilini mwake amepona kabisa.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Mara chemchemi ya damu yake ikakauka, naye akafahamu mwilini mwake kwamba amepona msiba ule.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mara chemchemi ya damu yake ikakauka, akajisikia mwilini mwake kwamba ameponywa ugonjwa wake.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Papo hapo kijitojito cha damu yake kikakauka, akajiona mwilini, ya kuwa amelipona teso lake.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Mara chemchemi ya damu yake ikakauka, naye akafahamu mwilini mwake kwamba amepona msiba ule.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Alipogusa nguo ya Yesu, mara moja damu yake ikaacha kutoka, naye akajisikia amepona.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Marra chemchemi ya damu yake ikakauka, akafahamu mwilini mwake kwamba amepona msiba ule.