Mark 5:3 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mtu huyo alikuwa akiishi makaburini wala hakuna mtu aliyeweza tena kumfunga kwa minyororo.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Mtu huyu aliishi makaburini, wala hakuna aliyeweza kumzuia hata kwa kumfunga minyororo.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
makao yake yalikuwa pale makaburini; wala hakuna mtu ye yote aliyeweza kumfunga tena, hata kwa minyororo;
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Mtu huyu aliishi makaburini, na hakuna mtu yeyote aliyeweza kumfunga hata kwa mnyororo,
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Mtu huyo alikuwa akiishi makaburini wala hakuna mtu aliyeweza tena kumfunga kwa minyororo.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mtu huyo alikuwa akiishi makaburini wala hakuna mtu aliyeweza tena kumfunga kwa minyororo.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Mtu huyu aliishi makaburini, wala hakuna aliyeweza kumzuia hata kwa kumfunga minyororo,
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Mtu huyu aliishi makaburini, wala hakuna aliyeweza kumzuia hata kwa kumfunga minyororo.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
makao yake yalikuwa pale makaburini; wala hakuna mtu yeyote aliyeweza kumfunga tena, hata kwa minyororo;
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mtu huyo alikuwa akiishi makaburini wala hakuna mtu aliyeweza tena kumfunga kwa minyororo.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kwa kuwa hukaa pale penye makaburi, hakuwako mtu aliyeweza kumfunga kwa mnyororo wo wote.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
makao yake yalikuwa pale makaburini; wala hakuna mtu ye yote aliyeweza kumfunga tena, hata kwa minyororo;
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Makao ya mutu huyu yalikuwa katika makaburi, wala hakuna mutu aliyeweza kumufunga tena hata na minyororo.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
wala hakuna mtu aliyeweza kumfunga, hatta kwa minyororo: