Mark 6:1 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Yesu aliondoka hapo akaenda katika kijiji chake, akifuatwa na wanafunzi wake.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Isa akaondoka huko na kwenda mji wa kwao, akiandamana na wanafunzi wake.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Akatoka huko, akafika mpaka nchi ya kwao; wanafunzi wake wakamfuata.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Yesu akaondoka pale, na kwenda katika mji wa kwao; na wanafunzi wake wakamfuata.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Yesu aliondoka hapo akaenda katika kijiji chake, akifuatwa na wanafunzi wake.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Yesu aliondoka hapo akaenda katika kijiji chake, akifuatwa na wanafunzi wake.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Yesu akaondoka huko na kwenda mji wa kwao, akiwa amefuatana na wanafunzi wake.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Isa akaondoka huko na kwenda mji wa kwao, akiwa amefuatana na wanafunzi wake.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Akatoka huko, akafika mpaka nchi ya kwao; wanafunzi wake wakamfuata.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Yesu aliondoka hapo akaenda katika kijiji chake, akifuatwa na wanafunzi wake.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Akatoka kule, akaenda kwao, alikokulia, nao wanafunzi wake wakamfuata.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Akatoka huko, akafika mpaka nchi ya kwao; wanafunzi wake wakamfuata.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Yesu akatoka kule, akaenda katika muji wake wa kuzaliwa, nao wanafunzi wake wakamufuata.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
AKATOKA huko, akafika hatta inchi ya kwao: wanafunzi wake wakamfuata.