Mark 7:8 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Nyinyi mnaiacha amri ya Mungu na kushikilia maagizo ya watu.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Ninyi mmeziacha amri za Mungu na kushika desturi za watu.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Ninyi mwaiacha amri ya Mungu, na kuyashika mapokeo ya wanadamu.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Mmezipuuza amri za Mungu, na mnashikilia desturi za binadamu.”
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Ninyi mnaiacha amri ya Mungu na kushikilia maagizo ya watu.”
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Nyinyi mnaiacha amri ya Mungu na kushikilia maagizo ya watu.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Ninyi mmeziacha amri za Mungu na kushika desturi za watu.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Ninyi mmeziacha amri za Mungu na kushika desturi za watu.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Ninyi mwaiacha amri ya Mungu, na kuyashika mapokeo ya wanadamu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Nyinyi mnaiacha amri ya Mungu na kushikilia maagizo ya watu.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Mnaliacha agizo lake Mungu, myashike mazoezo ya watu.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Ninyi mwaiacha amri ya Mungu, na kuyashika mapokeo ya wanadamu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Yesu akaendelea kuwaambia: “Munaacha amri za Mungu pembeni na kushika desturi za watu.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Kwa maana mmeiacha amri ya Mungu, na kuzishika hadithi za wana Adamu, kuosha midumu na vikombe: na mengine mengi ya namna hii mwayafanya.