Mark 8:15 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Yesu akawaonya, “Angalieni sana! Jihadharini na chachu ya Mafarisayo na chachu ya Herode.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Isa akawaonya: “Jihadharini na chachu ya Mafarisayo na ya Herode.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Akawaagiza, akasema, Angalieni, jihadharini na chachu ya Mafarisayo na chachu ya Herode.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Yesu akawaonya, akasema, “Mwe mwangalifu! Jilindeni na chachu ya Mafarisayo na ile ya Herode.”
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Yesu akawaonya, “Angalieni sana! Jihadharini na chachu ya Mafarisayo na chachu ya Herode.”
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Yesu akawaonya, “Angalieni sana! Jihadharini na chachu ya Mafarisayo na chachu ya Herode.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Yesu akawaonya: “Jihadharini na chachu ya Mafarisayo na ya Herode.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Isa akawaonya: “Jihadharini na chachu ya Mafarisayo na ya Herode.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Akawaagiza, akasema, Angalieni, jihadharini na chachu ya Mafarisayo na chachu ya Herode.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Yesu akawaonya, “Angalieni sana! Jihadharini na chachu ya Mafarisayo na chachu ya Herode.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Akawaonya akisema: Tazameni, jiangalieni kwa ajili ya chachu ya Mafariseo na chachu ya Herode!
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Akawaagiza, akasema, Angalieni, jihadharini na chachu ya Mafarisayo na chachu ya Herode.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Yesu akawaagiza: “Mujiangalie vizuri, mujiepushe na chachu ya Wafarisayo na ya Herode.”
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Akawaagiza, akisema, Angalieni, jihadharini na chachu ya Mafarisayo na chachu ya Herode.