Mark 8:16 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Wanafunzi wakaanza kujadiliana wao kwa wao, “Anasema hivyo kwa kuwa hatuna mikate.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Wakajadiliana wao kwa wao, na kusema, “Anasema hivi kwa sababu hatukuleta mikate.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Wakabishana wao kwa wao, kwa kuwa hawana mikate.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Nao wakaanza kujadiliana haya miongoni mwao: “Labda alisema hivi kwa sababu hatukuwa na mkate wowote.”
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Wanafunzi wakaanza kujadiliana wao kwa wao, “Anasema hivyo kwa kuwa hatuna mikate.”
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Wanafunzi wakaanza kujadiliana wao kwa wao, “Anasema hivyo kwa kuwa hatuna mikate.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Wakaanza kujadiliana wao kwa wao wakasema, “Anasema hivi kwa kuwa hatukuleta mikate.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Wakajadiliana wao kwa wao, na kusema, “Anasema hivi kwa sababu hatukuleta mikate.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Wakabishana wao kwa wao, kwa kuwa hawana mikate.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Wanafunzi wakaanza kujadiliana wao kwa wao, “Anasema hivyo kwa kuwa hatuna mikate.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Ndipo, walipoyafikiri na kusemezana wao kwa wao: Ni kwa sababu hatunayo mikate.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Wakabishana wao kwa wao, kwa kuwa hawana mikate.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Wanafunzi wakaanza kusemezana: “Anasema hivi kwa sababu hatuna mikate.”
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Wakabishana wao kwa wao, kwa kuwa hawana mikate.