Mark 9:16 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Yesu akawauliza, “Mnajadiliana nini nao?”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Akawauliza wanafunzi wake, “Mnabishana nao kuhusu nini?”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Akawauliza, Mnajadiliana nini nao?
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Akawauliza, “Mnabishana nao kitu gani?”
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Yesu akawauliza, “Mnajadiliana nini nao?”
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Yesu akawauliza, “Mnajadiliana nini nao?”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Akawauliza wanafunzi wake, “Mnabishana nao kuhusu nini?”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Akawauliza wanafunzi wake, “Mnabishana nao kuhusu nini?”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Akawauliza, Mnajadiliana nini nao?
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Yesu akawauliza, “Mnajadiliana nini nao?”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Akawauliza: Mnabishana nini nao?
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Akawauliza, Mnajadiliana nini nao?
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Yesu akawauliza wanafunzi wake: “Munabishana nao juu ya nini?”
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Akawauliza wale waandishi, Nini mnajadiliana nao?