Mark 9:23 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Yesu akamwambia, “Ati ikiwa waweza! Mambo yote yanawezekana kwa mtu aliye na imani.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Isa akamwambia, “Ati, ‘Kama unaweza kufanya jambo lolote’? Yote yawezekana kwake yeye aaminiye.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Yesu akamwambia, Ukiweza! Yote yawezekana kwake aaminiye.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Yesu akamwambia, “Una maana gani kusema ‘ikiwa unaweza’? Kila kitu kinawezekana kwake yeye anayeamini.”
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Yesu akamwambia, “Eti ikiwa waweza! Mambo yote yanawezekana kwa mtu aliye na imani.”
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Yesu akamwambia, “Ati ikiwa waweza! Mambo yote yanawezekana kwa mtu aliye na imani.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Yesu akamwambia, “Kama ukiweza kuamini, yote yawezekana kwake yeye aaminiye.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Isa akamwambia, “Kama ukiweza kuamini, yote yawezekana kwake yeye aaminiye.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Yesu akamwambia, Ukiweza! Yote yawezekana kwake aaminiye.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Yesu akamwambia, “Ati ikiwa waweza! Mambo yote yanawezekana kwa mtu aliye na imani.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Yesu akamwambia: Ukiweza kumtegemea Mungu! Yote huwezekana kwake anayemtegemea Mungu.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Yesu akamwambia, Ukiweza! Yote yawezekana kwake aaminiye.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Yesu akamwambia: “Kwa sababu gani unasema: ‘Kama unaweza?’ Yote yanawezekana kwa yule anayeamini.”
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Yesu akamwambia, Ukiweza kuamini: yote yawezekana kwake aaminiye.