Mark 9:24 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Hapo, huyo baba akalia kwa sauti, “Naamini! Lakini imani yangu haitoshi, nisaidie.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Mara baba yake yule mvulana akapaza sauti akisema, “Ninaamini. Nisaidie kutokuamini kwangu!”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Mara babaye yule kijana akapaza sauti, akasema, Naamini, nisaidie kutokuamini kwangu.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Mara, babaye yule mvulana alilia kwa sauti kubwa na kusema, “Naamini! Nisaidie kutokuamini kwangu.”
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Hapo, huyo baba akalia kwa sauti, “Naamini! Lakini imani yangu haitoshi, nisaidie!”
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Hapo, huyo baba akalia kwa sauti, “Naamini! Lakini imani yangu haitoshi, nisaidie.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Mara baba yake yule mvulana akapiga kelele akisema, “Ninaamini. Nisaidie kutokuamini kwangu!”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Mara baba yake yule mvulana akapiga kelele akisema, “Ninaamini. Nisaidie kutokuamini kwangu!”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Mara babaye yule kijana akapaza sauti, akasema, Naamini, nisaidie kutoamini kwangu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Hapo, huyo baba akalia kwa sauti, “Naamini! Lakini imani yangu haitoshi, nisaidie.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Papo hapo baba wa kijana akapaza sauti akisema: Namtegemea Mungu; nisaidie, nisipomtegemea!
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Mara babaye yule kijana akapaza sauti, akasema, Naamini, nisaidie kutokuamini kwangu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mara moja baba ya mutoto akasema kwa nguvu: “Ninaamini! Lakini unisaidie kwa ajili ya kukosa kuamini!”
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Marra baba yake yule kijana akapaaza sauti, machozi yakimtoka, akanena, Naamini, Bwana, nisaidie kutokuamini kwangu.