Mark 9:30 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Yesu na wanafunzi wake waliondoka hapo, wakaendelea na safari kupitia wilaya ya Galilaya. Yesu hakupenda watu wajue alipokuwa,
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Wakaondoka huko, wakapitia Galilaya. Isa hakutaka mtu yeyote afahamu mahali walipo,
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Wakatoka huko, wakapita katikati ya Galilaya; naye hakutaka mtu kujua.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Wakaondoka mahali pale na kusafiri kupitia Galilaya. Yesu hakutaka mtu yeyote kujua walikuwa huko,
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Yesu na wanafunzi wake waliondoka hapo, wakaendelea na safari kupitia wilaya ya Galilaya. Yesu hakupenda watu wajue alipokuwa,
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Yesu na wanafunzi wake waliondoka hapo, wakaendelea na safari kupitia wilaya ya Galilaya. Yesu hakupenda watu wajue alipokuwa,
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Wakaondoka huko, wakapitia Galilaya. Yesu hakutaka mtu ye yote afahamu mahali walipo,
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Wakaondoka huko, wakapitia Galilaya. Isa hakutaka mtu yeyote afahamu mahali walipo,
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Wakatoka huko, wakapita katikati ya Galilaya; naye hakutaka mtu kujua.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Yesu na wanafunzi wake waliondoka hapo, wakaendelea na safari kupitia wilaya ya Galilaya. Yesu hakupenda watu wajue alipokuwa,
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Wakatoka kule, wakatembea huko katikati ya Galilea; naye hakutaka, mtu akivitambua.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Wakatoka huko, wakapita katikati ya Galilaya; naye hakutaka mtu kujua.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Yesu na wanafunzi wake wakatoka kule na kupitia jimbo la Galilaya. Yesu hakutaka mutu ajue pahali walipokuwa,
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Wakatoka huko, wakapita kati kati ya Galilaya: nae hakutaka mtu ajue.