Mark 9:32 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Wanafunzi hawakufahamu jambo hilo. Wakaogopa kumwuliza.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Lakini wao hawakuelewa kile alimaanisha, nao waliogopa kumuuliza maana yake.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Lakini hawakulifahamu neno lile, wakaogopa kumwuliza.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Lakini hawakuuelewa usemi huu, na walikuwa wanaogopa kumuuliza zaidi.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Wanafunzi hawakufahamu jambo hilo. Wakaogopa kumwuliza.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Wanafunzi hawakufahamu jambo hilo. Wakaogopa kumwuliza.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Lakini wao hawakuelewa kile alichokuwa akisema, nao waliogopa kumwuliza.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Lakini wao hawakuelewa kile alimaanisha, nao waliogopa kumuuliza maana yake.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Lakini hawakulifahamu neno lile, wakaogopa kumwuliza.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Wanafunzi hawakufahamu jambo hilo. Wakaogopa kumwuliza.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Nao hawakulitambua neno hili, lakini wakaogopa kumwuliza.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Lakini hawakulifahamu neno lile, wakaogopa kumwuliza.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Lakini wanafunzi hawakufahamu maana ya mafundisho hayo. Wakaogopa kumwuliza neno.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Nao hawakulifahamu neno lile, wakaogopa kumwuliza.