Mark 9:6 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Yeye na wenzake waliogopa hata hakujua la kusema.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Petro hakujua aseme nini kwa maana yeye na wenzake walikuwa wameogopa sana.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Maana, hakujua la kunena, kwa kuwa waliingiwa na hofu nyingi.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Petro aliyasema haya kwa sababu hakujua aseme nini, kwa sababu yeye na wenzake walikuwa wamepata hofu.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Yeye na wenzake waliogopa hata hakujua la kusema.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Yeye na wenzake waliogopa hata hakujua la kusema.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Petro hakujua aseme nini kwa maana yeye na wenzake walikuwa wameogopa sana.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Petro hakujua aseme nini kwa maana yeye na wenzake walikuwa wameogopa sana.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Maana, hakujua la kunena, kwa kuwa waliingiwa na hofu nyingi.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Yeye na wenzake waliogopa hata hakujua la kusema.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kwani hakujua, alilolisema, kwa maana waliingiwa na woga mkubwa.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Maana, hakujua la kunena, kwa kuwa waliingiwa na hofu nyingi.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Petro hakujua la kusema kwa maana yeye na wenzake waliogopa.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Maana yake hakujua la kunena, kwa kuwa waliingiwa na khofu nyingi.