Matthew 1:11 — Compare Translations
13 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Yosia alimzaa Yekonia na ndugu zake. Huo ulikuwa wakati Wayahudi walipopelekwa uhamishoni Babuloni.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
wakati wa uhamisho wa Babeli, Yosia alimzaa Yekonia na ndugu zake.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Yosia akamzaa Yekonia na ndugu zake, wakati wa ule uhamisho wa Babeli.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Yosia alikuwa baba wa Yekonia na ndugu zake. Walioishi wakati ambao watu walipelekwa utumwani Babeli.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Yosia alimzaa Yekonia na ndugu zake. Huo ulikuwa wakati Wayahudi walipopelekwa uhamishoni Babuloni.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Yosia alimzaa Yekonia na ndugu zake. Huo ulikuwa wakati Wayahudi walipopelekwa uhamishoni Babuloni.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
wakati wa uhamisho wa Babeli, Yosia alimzaa Yekonia na ndugu zake.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
wakati wa uhamisho wa Babeli, Yosia alimzaa Yekonia na ndugu zake.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Yosia akamzaa Yekonia na ndugu zake, wakati wa ule uhamisho wa Babeli.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Yosia alimzaa Yekonia na ndugu zake. Huo ulikuwa wakati Wayahudi walipopelekwa uhamishoni Babuloni.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Yosia akamzaa Yekonia na nduguze siku zile, walipohamishwa kwenda Babeli.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Yosia akamzaa Yekonia na ndugu zake, wakati wa ule uhamisho wa Babeli.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Yosia akamzaa Yekonia na ndugu zake, wakati wa uhamisho wa Babel.