Matthew 1:12 — Compare Translations

13 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Baada ya Wayahudi kupelekwa uhamishoni Babuloni, Yekonia alimzaa Shealtieli, Shealtieli alimzaa Zerubabeli,
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Baada ya uhamisho wa Babeli: Yekonia alimzaa Shealtieli, Shealtieli akamzaa Zerubabeli,
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Na baada ya ule uhamisho wa Babeli, Yekonia akamzaa Shealtieli; Shealtieli akamzaa Zerubabeli;
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Baada ya uhamisho wa Babeli, Yekonia akawa baba yake Shealtieli. Shealtieli alikuwa babu wa Zerubabeli.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Baada ya Wayahudi kupelekwa uhamishomi Babuloni: Yekonia alimzaa Shealtieli, Shealtieli alimzaa Zerobabeli,
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Baada ya Wayahudi kupelekwa uhamishoni Babuloni, Yekonia alimzaa Shealtieli, Shealtieli alimzaa Zerubabeli,
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Baada ya uhamisho wa Babeli: Yekonia alimzaa Shealtieli, Shealtieli akamzaa Zerubabeli,
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Baada ya uhamisho wa Babeli: Yekonia alimzaa Shealtieli, Shealtieli akamzaa Zerubabeli,
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Na baada ya ule uhamisho wa Babeli, Yekonia akamzaa Shealtieli; Shealtieli akamzaa Zerubabeli;
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Baada ya Wayahudi kupelekwa uhamishoni Babuloni, Yekonia alimzaa Shealtieli, Shealtieli alimzaa Zerubabeli,
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Walipokwisha kuhamishwa kwenda Babeli, Yekonia akamzaa Saltieli, Saltieli akamzaa Zerubabeli,
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Na baada ya ule uhamisho wa Babeli, Yekonia akamzaa Shealtieli; Shealtieli akamzaa Zerubabeli;
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Na haada ya uhamisho ule wa Babel, Yekonia akamzaa Shealtiel; Shealtiel akamzaa Zerubbabel;