Matthew 1:23 — Compare Translations

13 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
“Bikira atachukua mimba, atamzaa mtoto wa kiume, nao watampa jina Emanueli” (maana yake, “Mungu yuko nasi”).
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
“Tazama, bikira atachukua mimba, naye atamzaa mwana, nao watamwita jina Imanueli ” (maana yake, “Mungu pamoja nasi”).
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Tazama, bikira atachukua mimba, Naye atazaa mwana; Nao watamwita jina lake Imanueli; Yaani, Mungu pamoja nasi.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
“Sikiliza! Msichana bikira atapata mimba na atazaa mtoto wa kiume. Mtoto huyo ataitwa Emanueli.” (Yaani “Mungu yu pamoja nasi”.)
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
“Bikira atachukua mimba, atamzaa mtoto wa kiume, naye ataitwa Emanueli” (maana yake, “Mungu yu pamoja nasi”).
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
“Bikira atachukua mimba, atamzaa mtoto wa kiume, nao watampa jina Emanueli” (maana yake, “Mungu yuko nasi”).
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
“Tazama, bikira atachukua mimba, naye atamzaa mwana, nao watamwita Jina lake Imanueli,” maana yake, “Mungu pamoja nasi.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
“Tazama, bikira atachukua mimba, naye atamzaa mwana, nao watamwita Jina lake Imanueli”: maana yake, “Mungu pamoja nasi.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Tazama, bikira atachukua mimba, Naye atazaa mwana; Nao watamwita jina lake Imanueli; Yaani, Mungu pamoja nasi.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
“Bikira atachukua mimba, atamzaa mtoto wa kiume, nao watampa jina Emanueli” (maana yake, “Mungu yuko nasi”).
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Tazama, mwanamwali atapata mimba, atazaa mtoto mwanamume, nalo jina lake watamwita Imanueli, ni kwamba: Mungu yuko nasi.*
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Tazama, bikira atachukua mimba, Naye atazaa mwana; Nao watamwita jina lake Imanueli; Yaani, Mungu pamoja nasi.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Angalia, mwanamke bikira atachukua mimba, nae atazaa mwana, Na watamwita jina lake Immanuel; tafsiri yake, Mungu kati yetu.