Matthew 1:24 — Compare Translations

13 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Hivyo, Yosefu alipoamka usingizini alifanya kama malaika huyo alivyomwambia, akamchukua mke wake nyumbani.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Yusufu alipoamka kutoka usingizini, akafanya jinsi alivyoagizwa na malaika wa Mwenyezi Mungu, akamchukua Mariamu kuwa mke wake.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Naye Yusufu alipoamka katika usingizi, alifanya kama malaika wa Bwana alivyomwagiza; akamchukua mkewe;
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Yusufu alipoamka alifanya kama alivyoelekezwa na Malaika wa Bwana. Alimuoa Mariamu.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Hivyo, Yosefu alipoamka usingizini alifanya kama malaika huyo alivyomwambia, akamchukua mke wake nyumbani.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Hivyo, Yosefu alipoamka usingizini alifanya kama malaika huyo alivyomwambia, akamchukua mke wake nyumbani.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Yosefu alipoamka kutoka usingizini, akafanya kama vile alivyoagizwa na malaika wa Bwana, akamchukua Maria kuwa mke wake.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Yusufu alipoamka kutoka usingizini, akafanya kama vile alivyoagizwa na malaika wa Mwenyezi Mungu, akamchukua Mariamu kuwa mke wake.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Naye Yusufu alipoamka katika usingizi, alifanya kama malaika wa Bwana alivyomwagiza; akamchukua mkewe;
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Hivyo, Yosefu alipoamka usingizini alifanya kama malaika huyo alivyomwambia, akamchukua mke wake nyumbani.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Yosefu alipoamka katika usingizi akatenda, kama malaika wa Bwana alivyomwagiza. Akamwoa mchumba wake,
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Naye Yusufu alipoamka katika usingizi, alifanya kama malaika wa Bwana alivyomwagiza; akamchukua mkewe;
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Yusuf alipoamka katika usingizi, akatenda kama malaika wa Bwana alivyomwagiza;