Matthew 10:12 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mnapoingia nyumbani wasalimuni wenyeji wake.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Mkiingia kwenye nyumba, itakieni amani.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Nanyi mkiingia katika nyumba isalimuni.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Mtakapoingia katika nyumba hiyo, semeni, ‘Amani iwe kwenu.’
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Mnapoingia nyumbani wasalimuni wenyeji wake.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mnapoingia nyumbani wasalimuni wenyeji wake.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Mkiingia kwenye nyumba, itakieni amani.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Mkiingia kwenye nyumba, itakieni amani.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Nanyi mkiingia katika nyumba isalimuni.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mnapoingia nyumbani wasalimuni wenyeji wake.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Tena mkiingia nyumbani wapeni salamu!
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Nanyi mkiingia katika nyumba isalimuni.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mutakapoingia ndani ya nyumba, muwasalimie watu wanaokuwa mule, mukisema: ‘Amani kwenu.’
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Na mkiingia katika nyumba, isalimuni.