Matthew 10:36 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Na maadui wa mtu ni watu wa nyumbani mwake.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
nao adui za mtu watakuwa ni wale watu wa nyumbani mwake.’
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
na adui za mtu ni wale wa nyumbani mwake.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Hata watu wa familia zenu watakuwa adui zenu.’
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Na maadui wa mtu ni watu wa nyumbani mwake.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Na maadui wa mtu ni watu wa nyumbani mwake.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
nao adui za mtu watakuwa ni wale watu wa nyumbani kwake.’
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
nao adui za mtu watakuwa ni wale watu wa nyumbani kwake.’
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
na adui za mtu ni wale wa nyumbani mwake.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Na maadui wa mtu ni watu wa nyumbani mwake.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
nao watakaomchukia mtu ndio waliomo mwake.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
na adui za mtu ni wale wa nyumbani mwake.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
na adui wa mutu atakuwa wa jamaa yake mwenyewe.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
na adui wa mtu ndio wale wa nyumbani mwake.