Matthew 10:38 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mtu asiyechukua msalaba wake na kunifuata, hanistahili.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Tena yeyote asiyeuchukua msalaba wake na kunifuata, hastahili kuwa wangu.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Wala mtu asiyechukua msalaba wake akanifuata, hanistahili.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Wale ambao hawataupokea msalaba waliopewa wanaponifuata hawastahili kuwa wanafunzi wangu na kunifuata.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Mtu asiyechukua msalaba wake na kunifuata, hanistahili.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mtu asiyechukua msalaba wake na kunifuata, hanistahili.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Tena ye yote asiyeuchukua msalaba wake na kunifuata, hastahili kuwa wangu.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Tena yeyote asiyeuchukua msalaba wake na kunifuata, hastahili kuwa wangu.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Wala mtu asiyechukua msalaba wake akanifuata, hanistahili.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mtu asiyechukua msalaba wake na kunifuata, hanistahili.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Tena asiyejitwisha msalaba wake na kunifuata nyuma yangu hanipasi.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Wala mtu asiyechukua msalaba wake akanifuata, hanistahili.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Naye asiyejitolea kwa kubeba musalaba wake na kunifuata hastahili kuwa wangu.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Nae asiyechukua msalaba wake na kufuata nyuma yangu, hanifai.