Matthew 10:7 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mnapokwenda hubirini hivi: ‘Ufalme wa mbinguni umekaribia.’
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Mnapoenda, hubirini ujumbe huu, ‘Ufalme wa mbinguni umekaribia.’
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Na katika kuenenda kwenu, hubirini, mkisema, Ufalme wa mbinguni umekaribia.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Mtakapokwenda, waambieni hivi: ‘Ufalme wa Mungu umekaribia.’
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Mnapokwenda hubirini hivi: Ufalme wa mbinguni umekaribia.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mnapokwenda hubirini hivi: ‘Ufalme wa mbinguni umekaribia.’
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Wakati mnapokwenda, hubirini mkisema, ‘Ufalme wa Mbinguni umekaribia.’
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Wakati mnapokwenda, hubirini mkisema, ‘Ufalme wa Mbinguni umekaribia.’
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Na katika kuenda kwenu, hubirini, mkisema, Ufalme wa mbinguni umekaribia.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mnapokwenda hubirini hivi: ‘Ufalme wa mbinguni umekaribia.’
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Tena mnapokwenda pigeni mbiu mkisema: Ufalme wa mbingu umekaribia!
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Na katika kuenenda kwenu, hubirini, mkisema, Ufalme wa mbinguni umekaribia.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mutakapokuwa mukienda, muhubiri kwa watu kwamba Ufalme wa mbinguni umekaribia!
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Na katika kuenenda kwenu, khubirini, nikinena, Ufalme wa mbinguni umekaribia.