Matthew 11:28 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Njoni kwangu nyinyi nyote msumbukao na kulemewa na mizigo, nami nitawapumzisha.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
“Njooni kwangu, ninyi nyote mnaotaabika na kulemewa na mizigo, nami nitawapumzisha.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Njoni kwangu, ninyi nyote msumbukao na wenye kulemewa na mizigo, nami nitawapumzisha.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Njooni kwangu ninyi nyote mliochoka kutokana na mizigo mizito mnayolazimishwa kubeba. Nitawapa pumziko.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Njoni kwangu ninyi nyote msumbukao na kulemewa na mizigo, nami nitawapumzisha.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Njoni kwangu nyinyi nyote msumbukao na kulemewa na mizigo, nami nitawapumzisha.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
“Njoni kwangu, ninyi nyote mnaotaabika na kulemewa na mizigo, nami nitawapumzisha.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
“Njooni kwangu, ninyi nyote mnaotaabika na kulemewa na mizigo, nami nitawapumzisha.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Njooni kwangu, ninyi nyote msumbukao na wenye kulemewa na mizigo, nami nitawapumzisha.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Njoni kwangu nyinyi nyote msumbukao na kulemewa na mizigo, nami nitawapumzisha.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Njoni kwangu nyote, wenye kusumbuka na wenye kulemewa na mizigo! Mimi nitawatuliza.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Njoni kwangu, ninyi nyote msumbukao na wenye kulemewa na mizigo, nami nitawapumzisha.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
“Mukuje kwangu ninyi wote munaosumbuka na kulemewa na mizigo mizito, nami nitawapumzisha.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Njoni kwangu, ninyi nyote msumbukao na wenye mizigo nami nitawapumzisha.