Matthew 11:30 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Maana, nira niwapayo mimi ni laini, na mzigo wangu ni mwepesi.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kwa maana nira yangu ni laini na mzigo wangu ni mwepesi.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
kwa maana nira yangu ni laini, na mzigo wangu ni mwepesi.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Ndiyo, nira yangu ni rahisi. Mzigo ninaowapa muubebe ni mwepesi.”
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Maana, nira niwapayo mimi ni laini, na mzigo wangu ni mwepesi.”
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Maana, nira niwapayo mimi ni laini, na mzigo wangu ni mwepesi.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kwa maana nira yangu ni laini na mzigo wangu ni mwepesi.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kwa maana nira yangu ni laini na mzigo wangu ni mwepesi.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
kwa maana nira yangu ni laini, na mzigo wangu ni mwepesi.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Maana, nira niwapayo mimi ni laini, na mzigo wangu ni mwepesi.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
kwani kata yangu ni njema, nao mzigo wangu ni mwepesi.*
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
kwa maana nira yangu ni laini, na mzigo wangu ni mwepesi.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Nira yangu si nzito, nao muzigo nitakaowabebesha ni mwepesi.”
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
kwa maana nira yangu laini, na mzigo wangu mwepesi.