Matthew 11:9 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Lakini, mlikwenda kuona nini? Nabii? Naam, hakika ni zaidi ya nabii.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Basi mlienda kuona nini? Mlienda kumwona nabii? Naam, nawaambia, yeye ni zaidi ya nabii.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Lakini kwa nini mlitoka? Ni kuona nabii? Naam, nawaambia, na aliye mkuu zaidi ya nabii.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Hivyo mlitoka kuona nini? Nabii? Ndiyo, Yohana ni nabii. Lakini ninawaambia, Yeye ni zaidi ya hilo.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Basi, mlikwenda kuona nini? Nabii? Naam, hakika ni zaidi ya nabii.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Lakini, mlikwenda kuona nini? Nabii? Naam, hakika ni zaidi ya nabii.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Basi mlitoka kwenda kuona nini? Je, ni kumwona nabii? Naam, nawaambia, yeye ni zaidi ya nabii.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Basi mlikwenda kuona nini? Mlikwenda kumwona nabii? Naam, nawaambia, yeye ni zaidi ya nabii.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Lakini kwa nini mlitoka? Ni kuona nabii? Naam, nawaambia, na aliye mkuu zaidi ya nabii.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Lakini, mlikwenda kuona nini? Nabii? Naam, hakika ni zaidi ya nabii.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Au mlitoka kutazama nini? Mlitaka kuona mfumbuaji? Kweli, nawaambiani: Ni mkuu kuliko mfumbuaji.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Lakini kwa nini mlitoka? Ni kuona nabii? Naam, nawaambia, na aliye mkuu zaidi ya nabii.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Basi mulikwenda kuona nini? Nabii? Ndiyo, ninawaambia, yeye ni mukubwa kupita hata nabii.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Lakini mlikwenda kuona nini? Nabii? Naam, nawaambieni, na aliye zaidi ya nabii.