Matthew 12:37 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Maana kwa maneno yako utakubaliwa kuwa mwadilifu, na kwa maneno yako utahukumiwa kuwa na hatia.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kwa maana kwa maneno yako utahesabiwa haki, na kwa maneno yako utahukumiwa.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Kwa kuwa kwa maneno yako utahesabiwa haki, na kwa maneno yako utahukumiwa.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Maneno yenu yatatumika kuwahukumu ninyi. Uliyosema yataamua ikiwa una haki mbele za Mungu au unahukumiwa na Mungu.”
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Maana kwa maneno yako, utakubaliwa kuwa mwadilifu, na kwa maneno yako, utahukumiwa kuwa na hatia.”
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Maana kwa maneno yako utakubaliwa kuwa mwadilifu, na kwa maneno yako utahukumiwa kuwa na hatia.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kwa maana kwa maneno yako utahesabiwa haki na kwa maneno yako utahukumiwa.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kwa maana kwa maneno yako utahesabiwa haki, na kwa maneno yako utahukumiwa.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Kwa kuwa kwa maneno yako utahesabiwa haki, na kwa maneno yako utahukumiwa.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Maana kwa maneno yako utakubaliwa kuwa mwadilifu, na kwa maneno yako utahukumiwa kuwa na hatia.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kwani kwa maneno yako utapata wongofu, vile vile utapata hukumu kwa maneno yako.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Kwa kuwa kwa maneno yako utahesabiwa haki, na kwa maneno yako utahukumiwa.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kwa maana kila mutu atapata sheria au kupata azabu kufuatana na maneno yake.”
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Maana kwa maneno yako utapewa haki, na kwa maneno yako utahukumiwa.