Matthew 12:47 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Basi, mtu mmoja akamwambia, “Mama yako na ndugu zako wako nje, wanataka kusema nawe.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Ndipo mtu mmoja akamwambia, “Tazama, mama yako na ndugu zako wamesimama nje, wanataka kuongea na wewe.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Mtu mmoja akamwambia, Tazama, mama yako na ndugu zako wamesimama nje, wanataka kusema nawe.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Mtu mmoja akamwambia, “Mama yako na wadogo zako wanakusubiri nje. Wanataka kuongea nawe.”
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Basi, mtu mmoja akamwambia, “Mama yako na ndugu zako wako nje, wanataka kusema nawe.”
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Basi, mtu mmoja akamwambia, “Mama yako na ndugu zako wako nje, wanataka kusema nawe.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Ndipo mtu mmoja akamwambia, “Tazama mama Yako na ndugu Zako wamesimama nje, wanataka kuongea na wewe.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Ndipo mtu mmoja akamwambia, “Tazama, mama yako na ndugu zako wamesimama nje, wanataka kuongea na wewe.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Mtu mmoja akamwambia, Tazama, mama yako na ndugu zako wamesimama nje, wanataka kusema nawe.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Basi, mtu mmoja akamwambia, “Mama yako na ndugu zako wako nje, wanataka kusema nawe.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Tazama, mama yako na ndugu zako wamesimama nje kwa kutaka, waseme na wewe.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Mtu mmoja akamwambia, Tazama, mama yako na ndugu zako wamesimama nje, wanataka kusema nawe.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Halafu mutu mumoja akamwambia: “Angalia, mama yako na wandugu zako wako inje; wanataka kusemezana nawe.”
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Mtu akamwambia, Tazama, mama yako na ndugu zako wamesimama nje, wanataka kusema nawe.