Matthew 12:8 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Maana Mwana wa Mtu ana uwezo juu ya Sabato.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
kwa maana Mwana wa Adamu ndiye Bwana wa Sabato.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Kwa maana Mwana wa Adamu ndiye Bwana wa sabato.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Mwana wa Adamu ni Bwana juu ya siku ya Sabato.”
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Maana Mwana wa Mtu ni Bwana wa Sabato.”
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Maana Mwana wa Mtu ana uwezo juu ya Sabato.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
kwa maana Mwana wa Adamu ndiye Bwana wa Sabato.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
kwa maana Mwana wa Adamu ndiye Bwana wa Sabato.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Kwa maana Mwana wa Adamu ndiye Bwana wa sabato.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Maana Mwana wa Mtu ana uwezo juu ya Sabato.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kwani Mwana wa mtu ni bwana wa siku ya mapumziko.*
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Kwa maana Mwana wa Adamu ndiye Bwana wa sabato.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kwa maana Mwana wa Mutu ndiye Bwana wa siku ya Sabato.”
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Kwa maana Mwana wa Adamu udiye Bwana wa sabato.