Matthew 13:10 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Wanafunzi wake wakamwendea, wakamwuliza, “Kwa nini unasema na watu kwa mifano?”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Wanafunzi wake wakamwendea, wakamuuliza, “Kwa nini unasema na watu kwa mifano?”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Wakaja wanafunzi, wakamwambia, Kwa nini wasema nao kwa mifano?
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Wafuasi wake wakamwendea Yesu na kumuuliza, “Kwa nini unatumia simulizi hizi kuwafundisha watu?”
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Wanafunzi wake wakamwendea, wakamwuliza, “Kwa nini unasema na watu kwa mifano?”
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Wanafunzi wake wakamwendea, wakamwuliza, “Kwa nini unasema na watu kwa mifano?”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Wanafunzi wake wakamwendea wakamwuliza, “Kwa nini unasema na watu kwa mifano?”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Wanafunzi wake wakamwendea, wakamuuliza, “Kwa nini unasema na watu kwa mifano?”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Wakaja wanafunzi, wakamwambia, Kwa nini wasema nao kwa mifano?
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Wanafunzi wake wakamwendea, wakamwuliza, “Kwa nini unasema na watu kwa mifano?”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Wanafunzi wake wakamjia, wakamwambia: Sababu gani unasema nao kwa mifano?
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Wakaja wanafunzi, wakamwambia, Kwa nini wasema nao kwa mifano?
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Wanafunzi wa Yesu wakamwendea na kumwuliza: “Kwa sababu gani unasema na watu hawa ukitumia mifano?”
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Wakaja wanafunzi, wakamwambia, Kwa nini wasema nao kwa mifano?